Advent Hymnals
192. MWAMBA WENYE IMARA
Nyimbo Za Kristo,
1
Mwamba wenye imara,kwako nitajificha!
Maji hayo na damu yaliyotoka humu,
Hunisafi na dhambi,Hunifanya m-shindi.
2
Kwa kazi zote pia sitimizi sheria,
Nijapofanya bidii,nikilia na kudhii,
Hayaishi makosa;ndiwe wa kuokoa.
3
Sina cha mkononi,naja msalambani,
Nili tupu,nivike;ni mnyonge,nishike;
Nili mchafu,naja,nioshe nisijafa.
4
Nikungojapo chini,na kwenda kaburini,
Nipaapo mbinguni na kukwona enzini,
Roho yangu na iwe rahani mwako wewe
- Title Mwamba Wenye Imara Key Titles undefined First Line Mwamba wenye imara,kwako nitajificha! Author Year Composer Hymnal - Tune Metrical pattern # Stanzas Chorus Chorus Type Subjects Texts Print Texts Scripture Song