Advent Hymnals

192. MWAMBA WENYE IMARA

Nyimbo Za Kristo,


1
Mwamba wenye imara,kwako nitajificha!
Maji hayo na damu yaliyotoka humu,
Hunisafi na dhambi,Hunifanya m-shindi.

2
Kwa kazi zote pia sitimizi sheria,
Nijapofanya bidii,nikilia na kudhii,
Hayaishi makosa;ndiwe wa kuokoa.

3
Sina cha mkononi,naja msalambani,
Nili tupu,nivike;ni mnyonge,nishike;
Nili mchafu,naja,nioshe nisijafa.

4
Nikungojapo chini,na kwenda kaburini,
Nipaapo mbinguni na kukwona enzini,
Roho yangu na iwe rahani mwako wewe



  • -
    Title Mwamba Wenye Imara
    Key
    Titles undefined
    First Line Mwamba wenye imara,kwako nitajificha!
    Author
    Year
    Composer
    Hymnal -
    Tune
    Metrical pattern
    # Stanzas
    Chorus
    Chorus Type
    Subjects
    Texts
    Print Texts
    Scripture Song