Advent Hymnals

195. MSINGI WA KANISA

Nyimbo Za Kristo,


1
Msingi wa Kanisa Ndiye Yesu Bwana;
Kiumbe chake kipya Akipenda sana; 
Kutaka ‘kitafuta Alishuka chini, 
Naye kwa haja yake, Akafa Mtini.

2
Lina kila kabila Kisha ndiyo moja 
Wokovu wake una Mwokozi ndiyo moja; 
Uzazi ni umoja. Moja tumaini. 
Chakula ni kimoja. Moja tumaini.

3
Watu hustaajabu Kwa mashaka yote. 
Yaipatayo nje Hata ndani mwote; 
Ila watakatifu Humwomba, wakikesha  
Usiku ni kilio. Asubuhi raha.

4
Mashaka na taabu Hata vita vyake. 
Vyangoja matimizo Ya amani yake. 
Ndipo kwa macho yetu Twone utukufu 
Kanisa ya kushinda itastarehe juu.








  • -
    Title Msingi Wa Kanisa
    Key
    Titles undefined
    First Line Msingi wa Kanisa Ndiye Yesu Bwana;
    Author
    Year
    Composer
    Hymnal -
    Tune
    Metrical pattern
    # Stanzas
    Chorus
    Chorus Type
    Subjects
    Texts
    Print Texts
    Scripture Song