1Kazi yangu ikisha,nami nikiokoka;Na kuvaa kutokuharibika,Nitamjua mwokozi nifikapo ng`amboni;Atakuwa wa kwanza kunilaki.ChorusNitamjua,Nitamjua,nikimwona uso kwa uso;Nitamjua,Nitamjua,kwa alama za misumari.2Furaha nitapata nikiona makao`Bwana aliyotuandalia;Nitamsifu Mwokozi kwa rehama na pendo;Vilivyonipa pahali mbinguni.3Nao waliokufa katika Bwana Yesu,Nitawaona tena huko juu;Lakini nifikapo kwake huko mbinguni,Nataka kumwona Mwokozi kwanza.4Milangoni mwa mji Bwana atanipisha,Pasipo machozi wala huzuni.Nitauimba wimbo wa milele;lakiniNataka kumwona mwokozi kwanza.