1Tawala ndani yangu, Ee Yesu, Mfalme. Uwe kwangu majibu Kwa maswala yangu;Uishi ndani yangu, Wewe, mwongoziUtumishi ni wangu, Wako utukufu.2Hekalu nimetoa, Umelisafisha;Sasa fahari yako Imulike ndani;Dunia iwe kimya, Mwili sasa uwe Mtumwa mtulivu Wa kukutii tu. 3Viungo vyake mwili, Vyote vikungoja Tayari vikiitwa Kwenda, kusimama; Bila manung`uniko Au malaumu, Au kusumbuliwa, Pasipo majuto.4Niwe na utulivu Pasipo haraka; Tayari kungojea Maagizo yake. Tawala ndani yangu. Ee Yesu, Mfalme, Uwe kwangu majibu Kwa maswali yote.