1Namwandama Bwana kwa alilonena, Njia zangu huning`azia;Na nikimridhisha atanidumisha, Taamini nitii pia. ChorusKuamini, Njiani pweke ni hii Ya furaha kwa Yesu: Amini ukatii.2Giza sina kwangu wala hata wingu,Yeye mara huviondoa;Oga, wasiwasi, sononeko, basi; Huamini nitii pia. 3Masumbuko yote, sikitiko lote; Kwa mapenzi hunilipia;Baa, dhara, dhiki, vivyo hubariki. Taamini nitii pia. 4Mimi sitajua raha sawasawa Ila yote Yesu kumtoa:Napata fadhili na radhi kamili, Taamini nitii, pia. 5Nitamfurahia na kumtumaini, Majumbani na njia-njia; Agizo natenda; nikitumwa hwenda, Huamini, nitii pia
-
Title
Taamini Nitii Pia
Key
Titles
undefined
First Line
Namwandama Bwana kwa alilonena, Njia zangu huning`azia;