1Wamwendea Yesu kwa kusafiwa. Kuoshwa kwa damu ya Kondoo? Je, neema yake yatumwagiwa? Waoshwa kwa damu ya Kondoo? ChorusKuoshwa kwa damu Itutakasayo ya Kondoo?Ziwe safi nguo nyeupe sana; Waoshwa kwa damu ya Kondoo? 2Wamwandama daima Mkombozi. Waoshwa kwa damu ya Kondoo?Yako kwa Msulubiwa mavazi? Waoshwa kwa damu ya Kondoo? 3Atakapokuja Bwana-arusi Uwe safi katika damu! Yafae kwenda mbinguni mavazi: Yaoshwa kwa damu ya Kondoo?4Yatupwe yalipo na takataka; Uoshwe kwa damu ya Kondoo:Huoni kijito chatiririka Uoshwe kwa damu ya Kondoo?
-
Title
Wamwendea Yesu
Key
Titles
undefined
First Line
Wamwendea Yesu kwa kusafiwa. Kuoshwa kwa damu ya Kondoo?