Advent Hymnals

118. NILIPOTOKA KABISA

Nyimbo Za Kristo,


1                
Nilipotoka kabisa, sasa narudi;
Nikakawia dhambini, Bwana narudi.

Chorus  
Narudi nyumbani: daima kwako. 
Kwa upendo nipokee: Naja nyumbani.

2 
Nikasusurika sana, sasa narudi; 
Mwenye uchungu natubu, Bwana narudi.

3 
Nimechoka maovuni, sasa narudi; 
Pendo lako lanivuta, Bwana narudi.

4 
Ndilo tumaini langu, sasa narudi; 
Yesu alinifilia, Bwana narudi.

5 
Damu yake yanitosha, sasa narudi; 
Unioshe kenyekenye, Bwana narudi.



  • -
    Title Nilipotoka Kabisa
    Key
    Titles undefined
    First Line Nilipotoka kabisa, sasa narudi;
    Author
    Year
    Composer
    Hymnal -
    Tune
    Metrical pattern
    # Stanzas
    Chorus
    Chorus Type
    Subjects
    Texts
    Print Texts
    Scripture Song