Advent Hymnals

102. MLANGO PA MOYO

Nyimbo Za Kristo,


1
Mlangoni pa moyo; Mgeni! (Amesimama) 
Amesimama pale, Mgeni! (Amesimama) 
Umkaribishe sasa, 
Umkaribishe Mwana 
Wa Baba wa upendo: Mgeni! (Umkaribishe) 

2
Moyo wako kwa Bwana, Fungua. (Fungulieni) 
Asikuache mbali, Fungua. (Fungulieni) 
Umkubali Rafiki, 
Roho atafariji 
Naye atakutunza: Fungua. (Fungukieni) 

3
Usikie sauti Ya Bwana. (Uisikie) 
Uyachague mambo Ya Bwana. (Mambo ya Bwana) 
Ufungue mlango, 
Usimwambie bado: 
Jina lake tumai---- Yu Bwana. (Jina la Bwana) 

4
Na ufungue moyo, Kwa Bwana (Fungulieni) 
Utapewa msaada, Wa Bwana (Msaada wetu) 
Uzuri utavikwa 
Dhambi ataondoa, 
Ukifungua moyo. Kwa Bwana (Fungulieni)



  • -
    Title Mlango Pa Moyo
    Key
    Titles undefined
    First Line Mlangoni pa moyo; Mgeni! (Amesimama)
    Author
    Year
    Composer
    Hymnal -
    Tune
    Metrical pattern
    # Stanzas
    Chorus
    Chorus Type
    Subjects
    Texts
    Print Texts
    Scripture Song