1Sikieni neno la Mungu wetu, zileteni zaka kwa hazinaLeteni na mioyo yenu yote; mibaraka itakuja.ChorusZileteni zaka kwa hazina, kanijaribu sasa nazo;Nitakupeni mibaraka, zaidi ya nafasi ya kupewa.2Wakati Roho Mtakatifu kwako? Uzilete zaka kwa hazinaUkae karibu na Bwana wako, ndipo utabarikiwa.3Je,una kasoro na Bwana wako? Uzilete zaka kwa hazina,Uzilete kama alivyo sema, Ndipo utabarikiwa.4Ushukuru Bwana na moyo wote, unapo leta zaka ghalani;Usadiki ahadi zake zote, ndipo utabarikiwa.5Tuimbe sote nyimbo za furaha, tunapoleta zaka ghalaniTwimbe kabisa na furaha kubwa, kwani tutabarikiwa.
-
Title
Zileteni Zaka Kwa Hazina
Key
Titles
undefined
First Line
Sikieni neno la Mungu wetu, zileteni zaka kwa hazina