1Napenda kuhubiri habari ya Yesu,Ya Bwana wa fahari na pendo zake kuu.Kuhubiri napenda kwa hali na mali:Mwanyewe nimeonja, najua ni kweli.ChorusNapenda kuhubiri kisa cha Bwana Yesu.Ya Bwana wa fahari na pendo zake kuu.2Napenda kuhubirimambo ya ajabuNa tukiya fikiri yapita dhahabu.Kuhubiri napenda ya yaliyonifaa:Nami sasa napenda hayo kwa kuimba.3Napenda kuhubiri, hunifurahishaTamu yake habari haiwezi kwisha.Napenda kuhubiri wa gizani nao;Hawana muhubiri wa kweleza chuo.4Kuhubiri napenda hata wajuao;Kusikia hupenda kama wenzi wao.Nakao kwenye fahari nikiimba wimbo.Nitaimba habari za Mwokozi huyo.