Advent Hymnals
051. KUWA NA YESU MWOKOZI
Nyimbo Za Kristo,
1
Yesu Mwokozi, kwa hakika, Hjinipa furaha na amani;
Mrithi wa wokovu wake, Natakaswa kwa damu yake.
Chorus
Habari hiyo wimbo wangu, Daima nitamsifu Yesu.
Habari hiyo wimbo wangu, Daima nitamsifu Yesu.
2
Nijitoapo nina raha, Na kwa imani namwona Bwana;
Aniletea malaika, Wananilinda, niiokoke.
3
Hali na mali anitwaa, Katika Yesu nabarikiwa;
Nikimgoja kwa subira, Wema wake unanitosha.
- Title Kuwa Na Yesu Mwokozi Key Titles undefined First Line Yesu Mwokozi, kwa hakika, Hjinipa furaha na amani; Author Year Composer Hymnal - Tune Metrical pattern # Stanzas Chorus Chorus Type Subjects Texts Print Texts Scripture Song