Advent Hymnals
023. YESU FURAHA YA MOYO
Nyimbo Za Kristo,
1
Yesu, furaha ya moyo!Hazina ya pendo, na nuru.
Yote yatupendezayo, yasilinganishwe nawe.
2
Kweli yako ya daima, wawajibu wakuitao,
Ni siku zote u mwema kwao wakutafutao.
3
U Mkate wa uzima, kupokea ni baraka,
Twanywa kwako u kisima roho zikiburudika.
4
Mwokozi twakutamani, kwako roho hutulia;
Twakushika kwa imani, nawe watubariki.
5
Yesu, ndiwe kwetu mwanga, tufurahishe daima;
Giza ya dhambi fukuza uwe mwanga wa uzima.
- Title Yesu Furaha Ya Moyo Key Titles undefined First Line Yesu, furaha ya moyo!Hazina ya pendo, na nuru. Author Year Composer Hymnal - Tune Metrical pattern # Stanzas Chorus Chorus Type Subjects Texts Print Texts Scripture Song